Proverbs 6:6-8


6 aEwe mvivu, mwendee mchwa;
zitafakari njia zake ukapate hekima!

7 Kwa maana yeye hana msimamizi,
wala mwangalizi, au mtawala,

8 blakini hujiwekea akiba wakati wa kiangazi
na hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.

Copyright information for SwhKC